TANZIA: Mwandishi mkongwe na aliyewahi kuwa DC wa Handeni/Morogoro, Muhingo Rweyemamu afariki dunia
Aliyekuwa mwandishi nguli na mkuu wa Wilaya za Handeni na Morogoro, Muhingo Rweyemamu amefariki dunia asubuhi ya leo.
Kwa mujibu wa watu wake wa karibu, Muhingo ameumwa kwa muda mrefu. Anadaiwa kuwa alikuwa anavimba tumbo, mapafu kufeli na alikuwa asafirishwe jana kwa matibabu zaidi lakini daktari akashauri kuwa ndege ikiruka tuuu angefariki kwani Sukari ilikuwa chini sana.
Kwa mujibu wa watu wake wa karibu, Muhingo ameumwa kwa muda mrefu. Anadaiwa kuwa alikuwa anavimba tumbo, mapafu kufeli na alikuwa asafirishwe jana kwa matibabu zaidi lakini daktari akashauri kuwa ndege ikiruka tuuu angefariki kwani Sukari ilikuwa chini sana.
Comments
Post a Comment