NYARAKA: Wizara ya Madini iliidhinisha thamani ya Almasi ya Sh. Bilioni 14 kama thamani ya awali kusubiri mnada Ubelgiji
Naona sasa kumekucha
Taarifa zinaonyesha kwamba thamani ya Madini ya almasi iliyokamatwa uwanja wa ndege ilikuwa ni thamani ya awali. Ni wazi kwamba almasi huuzwa kwa mnada huko Ubelgiji na bei ya mnada huangalia mnada umeendaje,inaweza kupanda au kushuka,lakini muuzaji huweka bei ya awali
Nyaraka hii inaonyesha wizara ya nishati na Madini ikikiri kwamba thamani ya Madini hayo ni ya awali tu(PROVISIONAL) na kwamba thamani halisi ingejulikana siku ya mnada wa Madini Belgium
Hii ina maana gani? Ng'ombe alikuwa anapelekwa mnadani akapangiwe bei, ila nyumbani kama familia timekadiria kwamba pengine anaweza kuwa wa bei fulani, tunampa muuzaji aende na kadirio la chini sana,lakini apambane afikie thamani ya juu sana
Kwa hiyo kusema kwamba mwadui walidanganya,tulitaka mwadui wageuke watabiri wajue nani atanunua kwa shilingi ngapi?
Je tunajua maana ya PROVISIONAL?
Wizara inakiri kwamba ni kilo 19! Sasa inamlaumu nani?
Kuhusu mrabaha,huu nao alikuwa wa awali,na ulipigiwa hesabu kutokana na thamani ya awali ya Madini kabla hayajafikishwa mnadani,kwa nini nasema ni mrabaha wa awali? Nani anajua kwamba huko mnadani tungeuza almasi hiyo kwa hata bilioni mia? Au bilioni ishirini? Au tusiuze kabisa? Kwa hiyo mwadui pia walilipa PROVISIONAL Royalty,kama mnada ungekuwa mtamu,mwadui hawanaga hiyana,wangejazia Royalty hata kama ingekuwa ya bilioni 700,lakini kwanza je mnada ungetoa bei nzuri?
Lakini pia kamishna wa Madini aliidhinisha Almas hiyo isafirishwe kwenda nje,bila shaka kamishna wa Madini ni mtu mtaalamu aliyeiva anayejua ABC za biashara ya almasi na anaelewa nini maana ya PROVISIONAL

Sasa tuweke Court Room Drama
Umesema umetaifisha Almasi kwa sababu Mwadui walitangaza thamani pungufu:
Serikali: ndio
Soma hii karatasi:
Serikali: nimesoma
Imeandikwa na nani?
Serikali:imeandikwa na serikali ya jamhuri ya muungano kupitia wizara ya nishati na Madini
Unaelewa maana ya provisional value?
Serikali; ndio,ni thamani ya awali
Kwa hiyo thamani halisi ingejulikana kwenye mnada?
Serikali: ndio
Kwa hiyo uliposema hawakutaja thamani halisi,hawa mwadui wangejuaje thamani halisi kabla ya mnada?
Serikali:kimya
Kamishna wa Madini alitoa kibali cha kusafirisha?
Serikali:ndio
Kwa hiyo taratibu zote zilifatwa?
Serikali: ndio
Kwa nini ulitaifisha kama unajua thamani halisi ingejulikana Belgium na taratibu zote zilifatwa
Serikali: kimya
Taarifa zinaonyesha kwamba thamani ya Madini ya almasi iliyokamatwa uwanja wa ndege ilikuwa ni thamani ya awali. Ni wazi kwamba almasi huuzwa kwa mnada huko Ubelgiji na bei ya mnada huangalia mnada umeendaje,inaweza kupanda au kushuka,lakini muuzaji huweka bei ya awali
Nyaraka hii inaonyesha wizara ya nishati na Madini ikikiri kwamba thamani ya Madini hayo ni ya awali tu(PROVISIONAL) na kwamba thamani halisi ingejulikana siku ya mnada wa Madini Belgium
Hii ina maana gani? Ng'ombe alikuwa anapelekwa mnadani akapangiwe bei, ila nyumbani kama familia timekadiria kwamba pengine anaweza kuwa wa bei fulani, tunampa muuzaji aende na kadirio la chini sana,lakini apambane afikie thamani ya juu sana
Kwa hiyo kusema kwamba mwadui walidanganya,tulitaka mwadui wageuke watabiri wajue nani atanunua kwa shilingi ngapi?
Je tunajua maana ya PROVISIONAL?
Wizara inakiri kwamba ni kilo 19! Sasa inamlaumu nani?
Kuhusu mrabaha,huu nao alikuwa wa awali,na ulipigiwa hesabu kutokana na thamani ya awali ya Madini kabla hayajafikishwa mnadani,kwa nini nasema ni mrabaha wa awali? Nani anajua kwamba huko mnadani tungeuza almasi hiyo kwa hata bilioni mia? Au bilioni ishirini? Au tusiuze kabisa? Kwa hiyo mwadui pia walilipa PROVISIONAL Royalty,kama mnada ungekuwa mtamu,mwadui hawanaga hiyana,wangejazia Royalty hata kama ingekuwa ya bilioni 700,lakini kwanza je mnada ungetoa bei nzuri?
Lakini pia kamishna wa Madini aliidhinisha Almas hiyo isafirishwe kwenda nje,bila shaka kamishna wa Madini ni mtu mtaalamu aliyeiva anayejua ABC za biashara ya almasi na anaelewa nini maana ya PROVISIONAL
Sasa tuweke Court Room Drama
Umesema umetaifisha Almasi kwa sababu Mwadui walitangaza thamani pungufu:
Serikali: ndio
Soma hii karatasi:
Serikali: nimesoma
Imeandikwa na nani?
Serikali:imeandikwa na serikali ya jamhuri ya muungano kupitia wizara ya nishati na Madini
Unaelewa maana ya provisional value?
Serikali; ndio,ni thamani ya awali
Kwa hiyo thamani halisi ingejulikana kwenye mnada?
Serikali: ndio
Kwa hiyo uliposema hawakutaja thamani halisi,hawa mwadui wangejuaje thamani halisi kabla ya mnada?
Serikali:kimya
Kamishna wa Madini alitoa kibali cha kusafirisha?
Serikali:ndio
Kwa hiyo taratibu zote zilifatwa?
Serikali: ndio
Kwa nini ulitaifisha kama unajua thamani halisi ingejulikana Belgium na taratibu zote zilifatwa
Serikali: kimya
Comments
Post a Comment