TUPO SALAMA? Mwili wakutwa ufukweni Kawe jijini Dar ndani ya kiroba

Mwili wa mtu asiyejulikana umekutwa kwenye fukwe za Kawe ukiwa umefungwa kwenye kiroba Asubuhi Hii na Hadi sasa haujatambulika kuwa ni mwanaume au mwanamke.

Mashuhuda wanasema kuwa wavuvi wameusogeza ufukweni hapo, na kuucha, Jeshi la Polisi lina Taarifa na Wapo Njiani Kuelekea Eneo la Tukio.

IMG_20170817_125229.jpg
Chanzo: Times Fm

Comments

Popular posts from this blog

Jinsi ya kutengeneza SABUNI ya kipande

Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola