MASAKI, DAR: Wayne Lotter, Mwanaharakati aliyekuwa akipambana na ujangili auawa kwa kupigwa risasi
TAARIFA ZA AWALI:
Wakuu,
Usiku wa kuamkia leo mwanaharakati huyu wa PAMS Foundation ya Jijini Arusha ameuawa vibaya kwa kupigwa risasi.
Inadaiwa gari lake lilikuwa blocked na akamiminiwa risasi kadhaa na kupelekea kifo chake.
Taarifa zaidi zitafuata...
![[IMG]](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_utWZ-HsGxsSY2vi24QCDp73sbOqyOlyhbfhAMzGbkGeQWPm2fUrsq-lhlTntAVyUOIqzZVqdMSomlBJlqY0cIZdAz0T50TibBJDsK7OAvBX4h-0GKPjz5l73DNaFqh0FSkgmOGLhnHhJjD5cxhUaFRYA=s0-d)
Mojawapo ya makala zake: How intelligent law enforcement in Tanzania is saving elephants - Africa Geographic
Are we safe?
Wakuu,
Usiku wa kuamkia leo mwanaharakati huyu wa PAMS Foundation ya Jijini Arusha ameuawa vibaya kwa kupigwa risasi.
Inadaiwa gari lake lilikuwa blocked na akamiminiwa risasi kadhaa na kupelekea kifo chake.
Taarifa zaidi zitafuata...
Mojawapo ya makala zake: How intelligent law enforcement in Tanzania is saving elephants - Africa Geographic
Are we safe?
Comments
Post a Comment