DAR: Nyumba Kimara zabandikwa 'stop order' kutoka mahakamani. TANROADS wazibomoa, bado wadai wameamrishwa

Wakazi watueleza: Mahakama imetoa zuio (stop order) na zimebandikwa kwenye nyumba husika lakini TANROADS yaendelea kubomoa. Wakazi wametuonyesha zuio na waeleza historia ya makazi yao.

Mwanzoni TANROADS walidai hawakuwa na taarifa kuwa mahakama imezuia, sasa order kutoka mahakamani zikabandikwa kwenye nyumba, lakini zimebomolewa bado.

Shuhuda wa tukio hilo amesema TANROADS waliwaambia wanatekeleza maagizo kutoka juu

Comments

Popular posts from this blog

Jinsi ya kutengeneza SABUNI ya kipande

Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola

Wachina wa Meli ya 'Samaki wa Magufuli' kwenda mahakama ya kimataifa. Wadai walipwe fidia pamoja na meli yao