BURUDANI Madee Apewa Onyo Na Jacqliine Wolper Kwa Kutumia Sura Yake Kwenye Video


Propellerads
Msanii wa filamu hapa nchini Tanzania Wolper amemuonya msanii wa Bongo Freva Madeea.k.a Rais wa Manzese kwa kutmia sura ya katika video ya wimbo wake mpya wa ‘Sikila’aliomshirikisha Tecno Kutoka nchini Nigeria.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mwanadada Wolper alimuandikia ujumbe wa kumuonya Madee Licha ya kumuonya pia alimpongeza kwa Idea aliyoitumia Madee na kutaka ampigie simu ili amlipe kwa kuto kumuomba kutumia sura yake kwenye kichupa hicho cha ‘Sikila’
“Embu ona jamani macho natia huruma kama na upwiro kilo 200 …hii mikaka yetu yakibongo kuna mida inaboa kuna mida inakuwa powa ..sasa Madee Rais wamnzese nikuulize swali…ulishindwa nini kunyanyua ka cm kako nakunipgia ata kinafk nakunambia unanivdio queen katuni sjui sanam unajua wewe….” Ameandika Wolper na kuongeza;
“Acha dharau wewe pumbavu piga cm omba kwanza….ata kma umlipi m2 sisi tunasaidiana wote wasanii leo kwangu kesho kwako,🙄👉. nakunishika kimahaba umenishika una dhambi wewe kaka na suit umenivalia kma unaenda kutoa posa kwa masawe🙄..sasa onyooo siku nyingne ombaga utapewa acha kuparamia kama vile unaomba round kwa kimada wako kwanza unitafute utoe ata faini ya kuniweka macho kama nimevuta ugoro…ila nyimbo kali nisiwe mchoyo nanimependa idea ila mwambie alinichonga nakunipa hyo shepu nitampasua 🙄” aliandika Wolper

Comments

Popular posts from this blog

Jinsi ya kutengeneza SABUNI ya kipande

Kumbukumbu ya kuundwa kwa chama cha AA mwaka 1927 chini ya Sesilia Matola