
Msanii wa filamu hapa nchini Tanzania
Wolper amemuonya msanii wa Bongo Freva
Madeea.k.a Rais wa Manzese kwa kutmia sura ya katika video ya wimbo wake mpya wa
‘Sikila’aliomshirikisha
Tecno Kutoka nchini Nigeria.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mwanadada Wolper alimuandikia ujumbe wa kumuonya Madee Licha ya kumuonya pia alimpongeza kwa Idea aliyoitumia Madee na kutaka ampigie simu ili amlipe kwa kuto kumuomba kutumia sura yake kwenye kichupa hicho cha ‘Sikila’
“Embu ona jamani macho natia huruma kama na upwiro kilo 200 …hii mikaka yetu yakibongo kuna mida inaboa kuna mida inakuwa powa ..sasa Madee Rais wamnzese nikuulize swali…ulishindwa nini kunyanyua ka cm kako nakunipgia ata kinafk nakunambia unanivdio queen katuni sjui sanam unajua wewe….” Ameandika Wolper na kuongeza;
Comments
Post a Comment